• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

Tehama

MAJUKUMU YA KITENGO CHA KEKNOLOJIA, HABARI NA MAWASILIANO 

(TEHAMA)

 

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA

Jina: Bw.  PETER E. MASASHUA

Simu: +255 (0) 688 302 389

            +255 (0) 762 321 022

Barua pepe: peter.masashua@bukobadc.go.tz


A: UTANGULIZI:

Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, dunia imezama katika matumizi makubwa ya taarifa na data na kubadilishwa kabisa na teknolojia za kisasa kabisa katika nyanja ya habari na mawasiliano. Matokeo ya muunganiko huu wa taarifa na teknonolojia; Taasisi, mashirika na makampuni yamekua yakipania kuboresha ufanisi wao na hatimaye kuongeza faida.                  

Kama Taasisi, Mashirika na Makampuni mbali mbali yanataka kushika nafasi za juu kabisa katika ushindani wao kiufanisi, kibiashara na kiutendaji kwa ujumla hayana budi basi kutambua umuhimu , nafasi na kazi za Kitengo cha TEHAMA katika kusaidia ukuaji na ufanisi wa taasisi, mashirika na Makampuni yao.

Tufahamau hapa kuwa; Hata vile vitu tunavyoviona kuwa ni vya kawaida kabisa mfano usimamizi wa mfumo wa barua pepe unahitaji uelewa wa kiasi fulani wa masuala ya TEHAMA.

B: MAJUKUMU:

Kimsingi majukumu ya Kitengo cha TEHAMA katika Taasisi yoyote ile ni mengi sana lakini kwa ufupi ni pamoja na;

  1. Kubuni na kupanga na kutoa vigezo juu ya aina miundombinu ya TEHAMA itakayopaswa kununuliwa na kutumika kulingana na mahitaji ya Taasisi husika.
  2. Kuratibu na kufanya usimamizi wa miundombinu ya TEHAMA katika Taasisi husika.
  3. Kuwasaidia watumiaji kuingia na kufanya kazi zao kwa njia zenye usalama na kudhibiti watu wasiohusika kuingia katika mifumo mbali mbali ya Taasisi.
  4. Kufanya ukarabati wa vifaa vyote vya TEHAMA katika Taasisi.
  5. Kutoa msaada wa kiufundi na kuendesha mafunzo juu ya utumiaji wenye tija wa miundombinu na mifumo ya TAHAMA kwa watumiaji wa ndani na nje ya taasisi.
  6. Kuhakikisha usalama wa miundombinu ya TAHAMA  na taarifa zinazotuzwa dhidi ya wadukuzi na washambulizi wa mitandaoni wa ndani na nje ya taasisi.
  7. Kusaidia kupatikana kwa taarifa.

C: HITIMISHO:

Kazi za Kitego cha TAHAMA  mtambuka katika Taasisi husikika; hii ikimaanisha kuwa kinahudumia timu nzima yaani idara na vitengo vingine vyote ambavyo kwa namna moja au nyingine vinatumia miundombinu na vifaa vya TEHAMA kama vile simu, tarakishi, vichapishi, virudufishi na vifaa vingine vyote vya kielektroniki katika shughuli zao za kila siku.

Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAPATO JUU,HATI SAFI MEZANI

    June 16, 2025
  • MITI MIA TANO YAPANDWA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

    June 05, 2025
  • WALENGWA TASAF WATEKELEZA MIRADI YA AJIRA ZA MUDA MFUPI

    May 29, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA AFUA ZA LISHE NGAZI YA JAMII ROBO YA TATU 2024/2025

    May 09, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Bujunangoma

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.