• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
        • Majukumu ya Idara
        • Vikao vya Kisheria Ngazi ya Halmashauri
        • Taarifa za Idara
        • Section: Procurement Management
        • Section: Internal Audit
        • Section: Procurement Management
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land & Natural Resources
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ufugaji wa Nyuki
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Economics, Health & Education
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Vikao vya Madiwani
      • Vikao vya Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Kiofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tehama

MAJUKUMU YA KITENGO CHA KEKNOLOJIA, HABARI NA MAWASILIANO 

(TEHAMA)

 

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA

Jina: Bw.  PETER E. MASASHUA

Simu: +255 (0) 688 302 389

            +255 (0) 762 321 022

Barua pepe: peter.masashua@bukobadc.go.tz


A: UTANGULIZI:

Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, dunia imezama katika matumizi makubwa ya taarifa na data na kubadilishwa kabisa na teknolojia za kisasa kabisa katika nyanja ya habari na mawasiliano. Matokeo ya muunganiko huu wa taarifa na teknonolojia; Taasisi, mashirika na makampuni yamekua yakipania kuboresha ufanisi wao na hatimaye kuongeza faida.                  

Kama Taasisi, Mashirika na Makampuni mbali mbali yanataka kushika nafasi za juu kabisa katika ushindani wao kiufanisi, kibiashara na kiutendaji kwa ujumla hayana budi basi kutambua umuhimu , nafasi na kazi za Kitengo cha TEHAMA katika kusaidia ukuaji na ufanisi wa taasisi, mashirika na Makampuni yao.

Tufahamau hapa kuwa; Hata vile vitu tunavyoviona kuwa ni vya kawaida kabisa mfano usimamizi wa mfumo wa barua pepe unahitaji uelewa wa kiasi fulani wa masuala ya TEHAMA.

B: MAJUKUMU:

Kimsingi majukumu ya Kitengo cha TEHAMA katika Taasisi yoyote ile ni mengi sana lakini kwa ufupi ni pamoja na;

  1. Kubuni na kupanga na kutoa vigezo juu ya aina miundombinu ya TEHAMA itakayopaswa kununuliwa na kutumika kulingana na mahitaji ya Taasisi husika.
  2. Kuratibu na kufanya usimamizi wa miundombinu ya TEHAMA katika Taasisi husika.
  3. Kuwasaidia watumiaji kuingia na kufanya kazi zao kwa njia zenye usalama na kudhibiti watu wasiohusika kuingia katika mifumo mbali mbali ya Taasisi.
  4. Kufanya ukarabati wa vifaa vyote vya TEHAMA katika Taasisi.
  5. Kutoa msaada wa kiufundi na kuendesha mafunzo juu ya utumiaji wenye tija wa miundombinu na mifumo ya TAHAMA kwa watumiaji wa ndani na nje ya taasisi.
  6. Kuhakikisha usalama wa miundombinu ya TAHAMA  na taarifa zinazotuzwa dhidi ya wadukuzi na washambulizi wa mitandaoni wa ndani na nje ya taasisi.
  7. Kusaidia kupatikana kwa taarifa.

C: HITIMISHO:

Kazi za Kitego cha TAHAMA  mtambuka katika Taasisi husikika; hii ikimaanisha kuwa kinahudumia timu nzima yaani idara na vitengo vingine vyote ambavyo kwa namna moja au nyingine vinatumia miundombinu na vifaa vya TEHAMA kama vile simu, tarakishi, vichapishi, virudufishi na vifaa vingine vyote vya kielektroniki katika shughuli zao za kila siku.

Matangazo ya Kawaida

  • No records found
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Maonesho ya Nane nane (2018) Yazinduliwa Rasmi Leo Wilayani Bukoba

    August 03, 2018
  • Soma Zaidi

    May 31, 2018
  • Tazama Zaidi

Video

Mh. Rais J.P.Magufuli avunja kamati ya maafa Mkoani Kagera
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Rwamishenye Chamber Area

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Kihesabu Waperuzi

adding google map to website

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.