• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA AFUA ZA LISHE NGAZI YA JAMII ROBO YA TATU 2024/2025

Tarehe ya Kuwekwa: May 9th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe.Erasto Sima amefungua kikao cha tathmini ya mkataba wa lishe ngazi ya jamii  cha robo ya tatu 2024/2025.

Kikao  hicho kimefanyika leo Aprili 09,2025 katika ukumbi wa makao makuu ya halmashauri  kikihusisha wagangawafawidhi,afisa lishe na watendaji wa Kata.

Akifungua kikao hicho Mhe Sima alipongeza juhudi za shule mbalimbali kupanda miti ya matunda  na bustani za mbogamboga ili kuimarisha lishe kwa wanafunzi.

Aidha Mhe. Sima aliongeza kuwa kuna baadhi ya vitu ambavyo vinatushusha kwenye asilimia za lishe ikiwemo suala la utapiamlo kwa baadhi ya kata na kutaka vitafutiwe suluhu ya kudumu.

‘’lazima tupige vita lishe duni katika halmashauri yetu, kwa kuzingatia viashiria vyote vya lishe ikiwemo utoaji chakula mashuleni kwa asilimia 100’’alisema Mhe.Sima.

Nae afisa lishe Bi.Janeth Mahona alieleza mafanikio ya afua za lishe kwa robo ya tatu ikiwemo kuongezeka kwa mashine 3 za kurutubisha unga kata ya Kemondo, kufanyika kwa matibabu ya utapiamlo kwa watoto 6 katika hospitali ya wilaya, mafunzo juu ya uchakataji wa soya kwa kina mama 49 na kuendeleza vilabu vya lishe mashuleni.

Bi.Janeth aliongeza pamoja na mafanikio hayo kumekua na changamoto kadhaa ikiwemo ucheleweshaji wa taarifa za lishe kwa baadhi ya Kata na baadhi ya wanafunzi kutokula chakula shuleni.

Kata zilizofanya vizuri katika afua za lishe robo ya tatu 2024/2025 ni Kishanje,Nyakibimbili,Katoro,Maruku na Kyaitoke.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA AFUA ZA LISHE NGAZI YA JAMII ROBO YA TATU 2024/2025

    May 09, 2025
  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

    April 16, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.