• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

Tarehe ya Kuwekwa: April 17th, 2025

Mapendekezo hayo yametolewa katika kikao cha Baraza la Madiwani la Robo ya tatu 2024/2025,kilichofanyika katika ukumbi wa Chemba,Aprili 17,2025.

Akitoa taarifa ya mapendekezo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, Kaimu Mkurugenzi na Mkuu wa idara ya kilimo na uvuvi Dk. Makigo alieleza Halmashauri inapendekeza fedha kiasi cha shilingi milioni 959,840,000 zinatarajiwa kukusanywa kutoka kwenye mauzo ya eneo la Chemba lenye mita za mraba 33,070.

Alieleza mpaka sasa kiasi cha shilingi 429,500,000 kimeshalipwa na inapendekezwa fedha hizo zitumike kuanzisha mradi wa ujenzi wa Shopping Center katika eneo la Shablidin zilipo nyumba 2 za Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, lenye ukubwa wa mita za mraba 1,978.

Aidha Dk.Makigo alibainisha lengo la kuanzisha mradi huo ni kuongeza mapato ya ndani na kuliongezea thamani eneo hilo lililopo katikati ya Mji.

Baraza la Madiwani kwa pamoja liliridhia na kupitisha mapendekezo hayo, pamoja na kushauri miradi mingine iliyopendekezwa ya kuiongezea Halmashauri makusanyo ya ndani kama uboreshaji wa stendi ya Kemondo, ujenzi wa soko la Kyetema na ujenzi wa ghala pamoja na mashine ya kukaushia dagaaa nayo itekelezwe kwa kadri ya upatikanaji wa fedha.

Taasisi zilizopatiwa eneo hilo la Chemba ni pamoja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,ofisi ya Mkuu wa Wilaya,Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya manispaa ya Bukoba, PSSF,TARURA na DPP.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA AFUA ZA LISHE NGAZI YA JAMII ROBO YA TATU 2024/2025

    May 09, 2025
  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

    April 16, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.