• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

NANAUKA AFIKISHA UJUMBE WA RAIS SAMIA KWA VIJANA

Tarehe ya Kuwekwa: January 25th, 2026

Na Abel Shema.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mh.Joel Arthur Nanauka amefikisha ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan alipotembelea shughuli za vijana katika mwalo wa Rubafu,Halmashauri ya Wilaya Bukoba, Januari 25,2026.

Akizungumza na vijana katika mwalo huo Nanauka alieleza Mhe. Rais amedhamiria kuwawezesha kimitaji,kiujuzi na kuwapa fursa vijana ya kutoa sauti na maoni yao, alieleza ili kudhibitisha dhamira hiyo Dkt.Samia aliunda wizara maalum ya maendeleo ya vijana  chini ya ofisi yake inayolenga masuala ya vijana kwa upekee.

Aidha  alisema kuwa wakati wa kampeni Mh.Rais aliahidi kutenga fedha sh bilioni 200 kwaajili ya kuwezesha biashara ndogo, za kati na change zinazoanzishwa na vijana kote nchini.

Mwalo wa Rubafu una vikundi 6 vyenye vijana 53 ambao wanamiliki vizimba takribani 60 na kuajiri vijana wengine 22 ambao sio wanakikundi.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • NANAUKA AFIKISHA UJUMBE WA RAIS SAMIA KWA VIJANA

    January 25, 2026
  • MHE.SADOTH IJUNGA MWENYEKITI MPYA WA HALMASHAURI NYA WILAYA BUKOBA

    December 03, 2025
  • DC SIMA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA BUKOBA

    November 28, 2025
  • PONGEZI

    November 04, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Bujunangoma

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.