• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

BUKOBA DC YAZINDUA CHANJO YA KUKU

Tarehe ya Kuwekwa: July 1st, 2025

Na Abel Shema.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba ndugu Julius Shulla amezindua uagawaji wa chanjo ya kuku kwa wataalam wa mifugo ngazi ya Kata.

Uzinduzi huo ulifanyika katika makao makuu ya Halmasahuri ya Wilaya ya Bukoba Julai 01,2025.

Akizungumza wakati wa ugawaji wa chanjo hiyo Shulla alieza kuwa chanjo hii inatolewa na Serikali bure, hivyo anamshukuru Rais Samia kwa kuipatia Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba chanjo hiyo ili iende kwa wafugaji bila kulipia gharama yoyote.

Alisistiza muda wa chanjo uzingatiwe ambao ni kuanzia Julai 1 hadi Julai 15,2025, na kila afisa mifugo atekeleze zoezi hilo kwa uaminifu mkubwa kama ambavyo wamekua wakifanya.

‘’Halmashauri yetu imeendelea kufanya vizuri sana kwenye chanjo, nawashukuru kwa hili na nawatakia majukumu mema kwenye utekelezaji huu’’alisema Shulla.

Dawa hii ya chanjo aina ya tatu moja inasaidia kukinga jamii ya ndege hasa kuku na bata dhidi ya mdondo au kideri,ndui, na mafua ya kuku.

Zoezi hili linatarajiwa kutekelezwa kwenye Halmashauri zote nchini, hivyo wafugaji na wananchi wote mnakaribishwa kuchangamkia fursa hii.

Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MAAFA BUKOBA DC ZANOLEWA

    July 22, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI KWA KIPINDI CHA MWAKA 2020-2025

    July 11, 2025
  • BUKOBA DC YAZINDUA CHANJO YA KUKU

    July 01, 2025
  • MAPATO JUU,HATI SAFI MEZANI

    June 16, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Bujunangoma

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.