• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

DC SIMA ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Tarehe ya Kuwekwa: April 3rd, 2025

Na Abel Shema.

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Sima amesikiliza na kutatua kero za Wananchi katika kijiji cha Katoju kata ya Bujugo alipofanya mkutano wa hadhara kijijini hapo tarehe 02 Aprili 2025.

Wakitoa kero zao Wananchi mbalimbali walimweleza Mkuu wa Wilaya kuwa kumekua na wimbi la Serikali ya kijiji kuhusika kugawa maeneo ya Kijiji bila kufuata utaratibu,huku kero zingine zilizoibuliwa ikiwa ni pamoja na utapeli katika zoezi la kuwaunganishia umeme wananchi vijijini ,baadhi ya wazazi kuhamisha watoto shule na kutofika shule wanazotakiwa kuhamia hivyo kuolewa ama kubaki nyumbani pamoja na walengwa wa TASAF waliopo katika mpango maalum wa kufanya shughuli za kijamii kama kutenegeza barabara za mitaa, kupanda miti na kuchimba visima kuomba kulipwa fedha zao kwa wakati.

Akijibu kero hizo Mhe Sima alieleza amepata malalamiko mbalimbali kuhusiana na suala la ugawaji wa ardhi ya Kijiji kinyume na taratibu na hivyo ameagiza vyombo maalum kwa kushirikiana na Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (TAKUKURU) kufuatilia sakata hilo, kuhusu Mwanachi aliyetozwa fedha kiasi cha shilingi 600,000 na mtu aliejitambulisha kuwa anatokea TANESCO pia Mhe Sima ameanzisha uchunguzi ili kukomesha tabia hiyo na kuwataka watoa huduma wote wanapoenda vijijini kuripoti ofisi za Vijiji kwanza,kadhalika kuhsiana na malipo ya walengwa wa TASAF Mkuu wa wilaya kupitia kwa mratibu wa TASAF aliahidi fedha hizo zitalipwa katika dirisha lijalo la malipo.

Nao maafisa ardhi kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba walitoa ufafanuzi juu ya utoaji wa ardhi ya kijiji, wakisisitiza kuwa ardhi ya Kijiji haiuzwi bali hugaiwa kwa mtu ama Taasisi yenye lengo la kuwekeza kwa sharti la kuchangia maendeleo ya Kijiji husika,pia kama aliyeuziwa ardhi hiyo hajaiendeleza kwa muda wa miaka 3 anapaswa kuirejesha kwenye Serikali ya Kijiji.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WALENGWA TASAF WATEKELEZA MIRADI YA AJIRA ZA MUDA MFUPI

    May 29, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA AFUA ZA LISHE NGAZI YA JAMII ROBO YA TATU 2024/2025

    May 09, 2025
  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Bujunangoma

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.