• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

Tarehe ya Kuwekwa: April 16th, 2025

Na abel Shema.

Waziri wa katiba na sheria Dr.Damas Ndumbaro, amekagua miradi ya maendeleo inayotekelezwana Serikali ya Awamu ya sita katika kata za Katerero na Kemondo Wilayani Bukoba,Aprili 16,2025.

Miradi hiyo ni pamoja na tenki la maji lenye ujazo wa lita milioni 3, la Kemondo-Maruku, uliogharimu kiasi cha shilingi bilioni 6.17, ujenzi wa Shule ya Sekondari ya amali Katerero uliogharimu Zaidi ya milioni 500 na Zahanati ya Mulahya iliyogharimu milioni 124.

Akizungumza katika shule ya Sekondari Katerero, Dr. Ndumbaro alimpongeza Rais Samia kwa kazi nzuri ya kuhakikishashule zenye ubora zinajengwa kote nchini tena zenye ubora wa hali ya juu.

‘’Mheshimiwa Rais wetu anatupenda sana,ametuletea Zaidi ya shilingi milioni 500, ili kusudi wanafunzi msitembee Zaidi ya kilomita 7.5 kwenda na kurudi shule’’.

Akiwa katika ukaguzi wa mradi wa maji Kemondo-Maruku,mhe. Ndumbaro aliridhika na ujenzi wa mradi huo na kueleza kuwa Mheshimiwa Rais kwa kuleta mradi huu ametekeleza haki za binadamu kwa vitendo kwani kila binadamu ana haki ya kupata maji safi na salama.

Kadhalika katika mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Mulahya, Mheshimiwa Waziiri alifurahishwa na kitendo cha Wananchi kuibua mradi huo na kuanza kuutekeleza kwa kuchangia milioni 1.8 na kasha Serikali kupitia halmashauri kuchangia milioni 118,huku Mbunge wa jimbo la Bukoba Vijijini Dr.Rweikiza nae akichangia katika ujenzi wa zahanati hiyo.

Akitoa maagizo ya jumla katika ziara hiyo Dr.Ndumbaro aliagiza Taasisi zote za umma kupelekewa huduma za umeme na maji mara moja kwani miradi mikubwa ya maji na umeme imeshafika katika kata zote za Wilaya ya Bukoba.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

    April 16, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.1

    April 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.