• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.1

Tarehe ya Kuwekwa: April 10th, 2025

Kamati ya fedha na mipango katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba imetembelea na kukagua miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 1.1.

Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa shule mpya ya sekondari Rubafu,iliyojengwa kwa fedha za SEQUIP kwa gharama ya shilingi 584,280,029,mradi huu umekamilika kwa asilimia 100 na wanafunzia wameanza kusoma kwa kidato cha 1 na cha 3.

Ujenzi wa nyumba mbili za wakuu wa idara, unaotekelezwa kwa fedha kutoka serikali kuu kwa thamani ya shilingi 160,000,000, mradi huu umekamilika kwa asilimia 100.

Ujenzi wa njia za kutembelea (walkways) katika hospitali ya Wilaya ya Bukoba,unaotekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu kwa thamani ya shilingi 155,000,000. Mradi huu umefikia asilimia 85, utakapokamilika utasaidia wagonjwa kutembea kutoka wodi moja kwenda ingine bila kunyeshewa na mvua wala kuchomwa na jua.

Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi ya walimu shule ya Sekondari Buzi,unaotekelezwa  kwa fedha za SEQUIP wenye thamani ya shilingi 50,000,000, mradi umefikia asilimia 85 na utasaidia kupunguza umbali wa kilometa 14 kwa wanafunzi waliokuwa wanaenda shule ya sekondari Kaagya.

Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa  ya wanafunzi wa awali na matundu 6 ya vyoo shule ya msingi Karamagi ,unaotekelezwa  kwa fedha za BOOST, Mradi huu umekamilika kwa asilimia 100,hivyo wanafunzi wa awali wamepata mazingira bora na rafiki ya kujisomea.

Akitoa majumuisho ya ziara hiyo,mwenyekiti wa kamati ya fedha na mipango Privatus Moleka amemshukuru Rais Samia kwa kuwezesha fedha za miradi hiyo na kuwataka wanufaika kutunza miradi hiyo,aidha alitaka kasi iongezeke kwa miradi ambayo haijakamilika ili iweze kukamilika kwa wakati.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

    April 16, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.1

    April 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.