• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

MAPOKEZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

Tarehe ya Kuwekwa: September 8th, 2025

MWENGE WA UHURU 2025 WAKAGUA, KUZINDUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2025,Ndugu Ismail Ali Ussi ametembelea kukagua,kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi 7 yenye thamani ya shilingi Bilioni 3.

Miradi hiyo ni kituo cha uzalishaji miche ya kahawa,shule ya Sekondari Katerero,barabara ya kyema-Katerero,mradi wa usambazaji maji Kemondo-Bujugo,kituo cha ujazaji gesi (TAIFA GAS),Zahanati ya Itahwa na miundo mbinu ya nishati safi shule ya sekondari Nyakato


Aidha Mwenge wa Uhuru 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba umekimbizwa kwa umbali wa km 60 katika kata 6 na kuzindua miradi 2 kuweka jiwe la msingi mradi mmoja kukagua miradi 3 na kutembelea mradi 1.

Naye Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu Ismail Ali Ussi akizungumza baada ya kupokea risala ya utii ya wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan, alieleza kufarijika kwake na mapokezi,usimamizi wa miradi na jinsi fedha zilizoletwa na Rais Samia zilivyosimamiwa ambapo alikagua kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi yote aliyoitembelea pasipo shaka yoyote

Ndugu Ussi aliongeza kuwa ni muhimu kila mmoja kuiunga mkono kauli mbiu ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 isemayo "Shiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu" kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura ajitokeze kuchagua viongozi bora kwa maendeleo ya taifa letu,huku akisisitiza kura zote ziende kwa Rais Samia kwani ndiye aliyeanzisha na kukamilisha miradi yote inayopitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAPOKEZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    September 08, 2025
  • DC SIMA AZINDUA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    September 04, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU KITAIFA MWAKA 2025

    September 02, 2025
  • BUKOBA DC YAZINDUA VAZI LA IJUMAA

    August 15, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Bujunangoma

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.