• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA ROBO YA KWANZA 2024/2025

Tarehe ya Kuwekwa: November 15th, 2024

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA ROBO YA KWANZA 2024/2025 WAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA CHEMBA TAREHE 13 NA 14 NOVEMBA 2024.

Akitoa taarifa yake mbele ya baraza la Madiwani Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Bi Fatina Hussein Laay ameeleza katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 vipaumbele vya Serikali kupitia Halmashauri ni pamoja na kuimarisha Utawala bora,ununuzi wa vifaa tiba kwa Hospitali,Vituo vya Afya na Zahanati,Ujenzi wa shule za Sekondari Katerero na Rubafu.Ukamilishaji wa wodi 03 za Wanawake,Wanaume na Watoto katika Hospitali ya Wilaya pamoja na ukusanyaji mapato na kusimamia matumizi ya fedha kwa mujibu wa sharia.

Katika hatua hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 Halmashauri ilipanga na kuidhinishiwa kutumia kiasi cha Tsh bilioni 11.8 kwaajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ambapo kufikia Septemba jumla ya Tsh bilioni 1.6 zilipokelewa sawa na asilimia 14.2% ya bajeti ya fedha za miradi ya maendeleo , na tayari asilimia 97.6% ya fedha zilizopokelewa kiasi cha shilingi 1,650,213,832.00 zimetumika katika utekelezaji wa miradi ya shughuli za maendeleo.

Aidha ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri umeendelea kuimarika kwa kipindi cha Julai hadi Septemba,2024 kwa makusanyo ya Tsh bilioni 1.1 sawa na asilimia 36% ikilinganishwa na asilimia 25% ya makisio ya kila robo, hivyo ongezeko la makusanyo la asilimia 11% ni kiashiria kwamba ukusanyaji wa mapato unaendelea kuimarika kwa robo ya kwanza.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

    April 16, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.1

    April 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.