TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI KWA KIPINDI CHA 2020 – 2025
UTANGULIZI
Halmashuri ya Wilaya ya Bukoba kwa kipindi cha 2020-2025 ilifanikiwa kutekeleza jumla ya miradi 377 yenye gharama ya Sh. 75,833,773,458.89 Katika sekta mbalimbali kama ilivyochanganuliwa hapa chini.
Fedha: Makusanyo ya ndani
Halmashauri imefanikiwa kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani kutoka Sh. 1,746,288,677.11 kwa mwaka 2020/2021 hadi kufikia kiasi cha sh. 3,480,110,633.25 Mei 2025.
SEKTA |
HALI ILIVYOKUWA MWAKA 2020 |
HALI ILIVYO MWAKA 2025 |
ONGEZEKO KWA IDADI |
ONGEZEKO KWA % |
ELIMU MSINGI
|
Shule 140
|
Shule142
|
2 |
1.4% |
Madarasa 1,072
|
Madarasa 1,130
|
58 |
5.4% |
|
Wanafunzi 74,286
|
Wanafunzi 76,973
|
2,687 |
3.6% |
|
Madawati 25,808
|
Madawati 26,678
|
870 |
3.4% |
|
Matundu ya vyoo 1,547
|
Matundu ya vyoo 1,712
|
165 |
10.7% |
|
Walimu 1,039
|
Walimu 1,166
|
127 |
12.2% |
SEKTA |
HALI ILIVYOKUWA MWAKA 2020 |
HALI ILIVYO MWAKA 2025 |
ONGEZEKO KWA IDADI |
ONGEZEKO KWA % |
ELIMU SEKONDARI
|
Shule 33
|
Shule 39
|
6 |
18% |
Madarasa 300
|
Madarasa 595
|
295 |
98% |
|
Wanafunzi 18,514
|
Wanafunzi 24,679
|
6,165 |
33.3% |
|
Matundu ya vyoo 424
|
Matundu ya vyoo 629
|
205 |
48.3% |
|
Madawati na Meza 17,236
|
Madawati na Meza 20,573
|
3337 |
13.4% |
SEKTA |
HALI ILIVYOKUWA MWAKA 2020 |
HALI ILIVYO MWAKA 2025 |
ONGEZEKO KWA IDADI |
ONGEZEKO KWA % |
ELIMU SEKONDARI
|
Zahanati 32
|
Zahanati 41
|
9 |
28.1% |
Hospitali 0
|
Hospitali 1
|
1 |
100% |
|
Vituo vya Afya 4
|
Vituo vya Afya 6
|
2 |
50% |
|
Upatikanaji wa dawa na vifaa tiba ilikua 65%
|
Upatikanaji wa dawa na vifaa tiba ilikua 90%
|
25% |
25% |
Na.
|
Kasma
|
Novemba, 2020
|
Mei, 2025
|
1.
|
Tani za mbolea ya ruzuku iliyonunuliwa na wakulima
|
0
|
131.65
|
2.
|
Idadi wakulima waliosajiliwa katika mfumo wa ruzuku ya mbolea
|
0
|
35,876
|
3.
|
Miche ya kahawa iliyotolewa kwa wakulima kwenye kata zote za halmashauri
|
96,341
|
3,676,283
|
4.
|
Wakulima waliofikiwa na wataalam wa kilimo na kupatiwa elimu ya kanuni bora za kilimo
|
21,713
|
78,450
|
5.
|
Idadi ya sampuli za udongo zilizopimwa afya ya udongo na kutoa ushauri stahiki kwa wakulima
|
0
|
1,596
|
6.
|
Gari zilizopokelewa kwa ajili ya kazi ya ugani kilimo
|
0
|
1
|
7.
|
Pikipiki zilizopokelewa kwa ajili ya kazi ya ugani kilimo
|
0
|
64
|
8.
|
Vipima udongo (soil scanner) zilizo pokelewa kwa ajili ya kupima afya ya udongo
|
0
|
1
|
Sekta ya mifugo
Na.
|
Kasma
|
Novemba, 2020
|
Mei, 2025
|
1.
|
Idadi ya ng’ombe walioogeshwa katika majosho; jumla ya miosho (immersions) iliyopatikana katika majosho 16
|
Ng’ombe 86,471
Mbuzi 4,103 |
Ng’ombe 192,537
Mbuzi 7,789 |
2.
|
Idadi ya mifugo waliopata chanjo kwa ajili ya kinga dhidi ya maradhi ya kideri kwa kuku, kichaa cha mbwa kwa mbwa na paka, homa ya mapafu ya ng’ombe, ugonjwa wa miguu na midomo ya ng’ombe, mapele ngozi na chambavu
|
81,397
|
134,321
|
3.
|
Idadi ya wafugaji waliopata huduma za ugani kwenye kata kwa kutumia wataalam wa ugani katika mada za mbinu za ufugaji bora, uzuiaji wa magonjwa ya mifugo na uogeshaji
|
31,511
|
47,850
|
4.
|
Ng’ombe waliohimilishwa ili kuboresha koosafu kwa ajili ya kuongeza uzalishaji.
|
793
|
1,044
|
Sekta ya uvuvi
Na.
|
Kasma
|
Novemba, 2020
|
Mei, 2025
|
1.
|
Idadi ya doria zilizofanyika katika Ziwa Viktoria na Ikimba
|
11
|
26
|
2.
|
Zana haramu zilizokamatwa (kokoro za sangara, nyavu ndogo za dagaa, nyavu za timba, nyavu ndogo za makila, katuli, mitumbwi)
|
598
|
301
|
3.
|
Mialo ya uvuvi iliyokarabatiwa
|
0
|
2
|
Na.
|
Kasma
|
Novemba, 2020
|
Mei, 2025
|
1.
|
Ukaguzi wa vitabu vya mahesabu umefanyika kwa AMCOS 51 na SACCOs 5 za halmashauri
|
29
|
46
|
2.
|
Mikutano ya kisheria na ya uchaguzi wa viongozi imesimamiwa katika AMCOS 51 SACCOs 5 za halmashauri
|
56
|
56
|
Ongezeko la fedha na idadi ya vikundi vinavyopata mikopo inayotolewa kwa ajili ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, ambapo kwa Novemba 2020 jumla ya kiasi cha Sh.189,905,000.00 kilikopeshwa kwa vikundi 53, na sh. 1,165,450,000 .00, Zimekopeshwa kwa vikundi 203 hadi kufikia Mei 2025.
HITIMISHO
Tunamshukuru sana Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya ujenzi wa miradi hii ya elimu, afya, maji na barabara ambayo kwa kiasi kikubwa imesaidia kuboresha utoaji wa huduma kwa jamii, kuongeza fursa za ajira, na kupunguza kero zilizokuwa ni sugu katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.
Fatina Hussein Laay
MKURUGENZI MTENDAJI
Bujunangoma
Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera
Simu ya Mezani: 028-2220287
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz
Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.