• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba District Council
Bukoba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zitolewazo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Ugani Kilimo
    • Huduma Ugani za Mifugo na Uvuvi
    • Mikopo ya Vikundi vya Wanawake na Vijana
  • Madiwani
    • Madiwani wa Sasa Waliochaguliwa
    • Kamati za Halmashauri
    • Mitasari ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Mfuko wa Taifa wa Maendeleo wa Jamii (TASAF)
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Sheria
    • Ripoti
    • Fomu Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Maktaba ya Picha

VINARA WA PEPMIS MKOA WA KAGERA WATUA BUKOBA DC

Tarehe ya Kuwekwa: March 12th, 2025


Vinara hao wamefanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kupitia mfumo wa e-utendaji ama PEPMIS kama unavyofahamika na wengi.

Zoezi hilo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba (Chemba) ,Machi 23,2025, na kuhusisha Kaimu Mkurugenzi,Wakuu wa idara na vitengo,Walimu wakuu, Watendaji wa Kata na watumishi wengine wanaotumia mfumo huo.

Akizungumza mratibu ufuatiliaji wa PEPMIS Mkoa wa Kagera Amos Adonias ameeleza lengo la ufuatiliaji huu ni kuhakikisha Watumishi wote wanajaza shughuli zao za Siku,Wiki,Mwezi hadi Mwaka kwenye mfumo ili Serikali iweze kutathmini utendaji kazi wao.

Aidha Bwana Amos aliongeza kuwa hali ya matumizi ya mfumo wa e-utendaji bado sio ya kuridhisha hivyo kupitia timu aliyoambatana nayo walichukua fursa ya kuelekeza kwa vitendo matumizi ya mfumo wa PEPMIS.

Wakieleza changamoto zao zinazowakumba katika kutumia mfumo wa PEPMIS,Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba wameeleza ni pamoja na kutokua na uzoefu wa kutosha kutumia mfumo, kutokujua baadhi ya vipengele vinavyotumika kwa usahihi katika mfumo na Baadhi ya Wakuu wa idara kutokua na uwezo wa kuona taarifa zilizojazwa na Watumishi waliopo chini yao.

Kufuatia changamoto hizo vinara wa PEPMIS, walichanganua na kuwajengea uwezo wa kutumia mfumo na hivyo kurahisisha uwezo wa Serikali kuchakata na kutathmini utendaji kazi wa watumishi.


Matangazo Madogo Madogo

  • UMITASHUMTA July 20, 2022
  • UJUMBE WA SENSA TOKA KWA MKURUGENZI MTENDAJI BDC July 23, 2022
  • MWENYEKITI NA SENSA July 23, 2022
  • MRADI WA WODI ZA UPASUAJI July 23, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KILA KHERI LA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LARIDHIA MAPENDEKEZO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA MAUZO YA ENEO LA CHEMBA.

    April 17, 2025
  • DR.NDUMBARO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUKOBA DC

    April 16, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.1

    April 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fomu mbali mbali
  • Picha mbali mbali
  • We are Implementing 2017 (Picha)

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Wizara ya Utumishi na Utawala Bora
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
  • Tovuti ya Wizara ya Afya
  • Tovuti ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Baraza la Elimu ya Ufundi Tanzania

Waperuzi Walipo

world map hits counter

Kihesabu Waperuzi

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)

    Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera

    Simu ya Mezani: 028-2220287

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.