MFUMO WA PAMOJA WA TAARIFA ZA KIUTUMISHI NA MISHAHARA (HUMAN CAPITAL MANAGEMENT INFORMATION SYSTEM – HCMIS)
Mfumo wa Pamoja wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (Human Capital Management Information Sytem – HCMIS) ni mfumo wa Kompyuta unaoutumika kuingiza, kuhifadhi na kutoa taarifa za masuala ya kiutumishi na Mishahara kwa ajili ya maamuzi mbalimbali ya Kimenejimenti na Kisera Serikalini.
Mfumo huu ulianza kutumika kuanzia mwezi Septemba 2011, ukiwa na lengo la kushughulikia masula ya kiutumishi ambayo ni:
TAKWIMU ZA KIUTUMISHI ZILIZOINGIZWA KWENYE MFUMO
NA. |
MWAKA |
AJIRA MPYA |
UPANDISHAJI VYEO |
KUTHIBITISHWA KAZINI |
WATUMISHI WALIOLIPWA MAPUNJO |
WATUMISHI WALITARAJIA KUSTAAFU |
WATUMISHI WALIOONDOLEWA KWENYE MFUMO |
|
Idadi |
Kiasi |
|||||||
1
|
2014/15
|
178
|
320
|
306
|
261
|
192,941,831
|
73
|
101
|
2
|
2015/16
|
68
|
634
|
178
|
269
|
273,260,900
|
86
|
147
|
3
|
2016/17
|
18
|
07
|
68
|
0
|
0
|
104
|
132
|
FAIDA ZA MATUMIZI YA MFUMO WA HCMIS
Faida za mfumo wa HCMIS ni nyingi kwa serikali, waajiri, OR-MUU, Wizara ya Fedha, Ofisi ya ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Wizara za Kisekta pamoja na watumishi wa umma kwa ujumla. Baadhi ya faida hizo ni pamoja na:-
CHANGAMOTO KATIKA MATUMIZI YA MFUMO WA HCMI
Eneo la Kemondo (Mubembe S/M)
Anuani ya Posta: P.O.Box 491 Bukoba - Kagera
Simu ya Mezani: 028-2220287
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@bukobadc.go.tz
Hati Miliki 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.Haki zote zimehifadhiwa.