Tarehe ya Kuwekwa: April 3rd, 2025
Na Abel Shema.
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Sima amesikiliza na kutatua kero za Wananchi katika kijiji cha Katoju kata ya Bujugo alipofanya mkutano wa hadhara kijijini hapo tarehe 02 Aprili 2025...
Tarehe ya Kuwekwa: March 12th, 2025
Vinara hao wamefanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kupitia mfumo wa e-utendaji ama PEPMIS kama unavyofahamika na wengi.
Zoezi hilo limefanyika katika ukumbi wa Halm...
Tarehe ya Kuwekwa: January 14th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba imetoa kiasi cha tsh 449,190,000 kwa vikundi 58 vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu kwa robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025.
Kiasi cha tsh 217,500,000 kimetolew...